iqna

IQNA

janatul baqi
Historia
IQNA - Mkutano wa kimataifa uliopewa jina la "Makaburi ya Baqi, Mahali Walimozikwa Maimamu na Masahaba" umefanyika katika mji mtakatifu wa Iran wa Qom siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478700    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19

TEHRAN (IQNA) Jumatano tarehe nane Shawwal 1440 Hijria, sawa na tarehe pili Juni 2019 ni kumbukumbu ya Mawahhabi kubomoa makaburi ya Ahul Bayt wa Mtume SAW ya Jannatul Baqii katika mji mtakatifu wa Madina takribani miaka 97 iliyopita.
Habari ID: 3471999    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/13